Salaam wadau,
Nahitaji kijana mwenye uzoefu na ufugaji hasa wa kuku na ndege. Anaweza kuwa na elimu formal au uzoefu wa muda mrefu wa kuku wote wa mayai na nyama. Kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kwa namba 0686 666666 hasa kwa msg au whatsApp.
Asante na karibuni.
Nahitaji kijana mwenye uzoefu na ufugaji hasa wa kuku na ndege. Anaweza kuwa na elimu formal au uzoefu wa muda mrefu wa kuku wote wa mayai na nyama. Kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kwa namba 0686 666666 hasa kwa msg au whatsApp.
Asante na karibuni.