Nahitaji msaidizi wa kazi za ndani

Nahitaji msaidizi wa kazi za ndani

Cosmasjulius

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2018
Posts
695
Reaction score
1,014
Ndugu zangu nahitaji dada wa kazi za ndani familia ya watu watatu, baba mama na mtoto wa miaka 4 mshahara 70k. Nipo Kimara Dar.

Nipigie 0626097783.
 
Nimelipenda tangazo lako.

Swali inatoa chochote kwa agent atakayekuletea huyo mtoto? Maana mimi wangu kuna mtu aliniletea nilimpoza kidogo si unajua wanavyosumbua kuwapata hawa?
Tatizo wengi matapeli mkuu ukituma nauli humsikii tenaa na dada haji.. Kama una uhakika huyo ni mwaminifu naomba unitumie namba PM mkuu
 
Kuna tapeli humu kaona tangazo akanipanga toka juzi jana akanidanganya nimtumie nauli ya kwenda kwa wazazi wa mtoto yeye yupo dodoma... Hata simu hapokei yani elfu 10 tu yenyewe nilikuwa nasita kumtumia na kesho asipopokea simu ntaweka namba yake hapa ili kama kuna mtu alimtumia namba zangu ajue huyo jamaa ni TAPELI.
 
Kuna tapeli humu kaona tangazo akanipanga toka juzi jana akanidanganya nimtumie nauli ya kwenda kwa wazazi wa mtoto yeye yupo dodoma... Hata simu hapokei yani elfu 10 tu yenyewe nilikuwa nasita kumtumia na kesho asipopokea simu ntaweka namba yake hapa ili kama kuna mtu alimtumia namba zangu ajue huyo jamaa ni TAPELI.
Wewe buku 10 hafadhali mimi nimeliwa 200k halafu mfanyakazi alikaa wiki tu. Akasema mzee wake anaumwa🤣
 
Kuna tapeli humu kaona tangazo akanipanga toka juzi jana akanidanganya nimtumie nauli ya kwenda kwa wazazi wa mtoto yeye yupo dodoma... Hata simu hapokei yani elfu 10 tu yenyewe nilikuwa nasita kumtumia na kesho asipopokea simu ntaweka namba yake hapa ili kama kuna mtu alimtumia namba zangu ajue huyo jamaa ni TAPELI.

Nilikua nafuatilia uzi na mimi nijitose
Kumbe anatafuta hela ya kula
 
Nilikua nafuatilia uzi na mimi nijitose
Kumbe anatafuta hela ya kula
Yani acha tuu...!! Nae njaa kalii alitaka nitume nauli ya dodoma to dar.. nkasema ngoja nimjaribu nione uaminifu wake za kichwaaa
 
Wewe buku 10 hafadhali mimi nimeliwa 200k halafu mfanyakazi alikaa wiki tu. Akasema mzee wake anaumwa
Aisee hawa wadada siku hizi wanasumbua sanaa mtu ukimpata mheshimu sanaa me nashangaa wanaowapata alafu wanawanyanyasaa... Unaweza tapeliwaa mpaka ukahisi kufa kufa me nimekataa tama..!! Mwingine juzi kati nimemkatia mpaka tiketi usiku ananimbia hawezi kuja bibi yake amefarikii..
 
Efu 70??kwa siku 30.,,nguo zako na Watoto sifuliwe,kupika,kufanya usafi,kuamka alfajiri,kulala SAA 7,mivyombo ya kuosha,gubu la mke wako and so and so,,yet mnasema Fei Toto anafanya Kazi kubwa malipo kiduchu hahahaaha haya bwana ubarikiwe utampata..wait hiyo means tsh 2400 kwa siku sio??si haba kwa maisha ya sasa yalivyo cheap..
 
Kuna tapeli humu kaona tangazo akanipanga toka juzi jana akanidanganya nimtumie nauli ya kwenda kwa wazazi wa mtoto yeye yupo dodoma... Hata simu hapokei yani elfu 10 tu yenyewe nilikuwa nasita kumtumia na kesho asipopokea simu ntaweka namba yake hapa ili kama kuna mtu alimtumia namba zangu ajue huyo jamaa ni TAPELI.
SIo namba weka na id
 
Huyo mwenye namba hiyo ni tapeliii anasema yupo dodomaa ila ni uongoo.. na uhakika ni member wa jf au kuna member humu anashirikiana nae kutapeli kiufupi aache kuna wengine hawana masiharaaa..!
 
Wewe buku 10 hafadhali mimi nimeliwa 200k halafu mfanyakazi alikaa wiki tu. Akasema mzee wake anaumwa
Hahahaaa.

Nimecheka kama mazuri ila inauma sana.

Pole sana mkuu, matapeli ni wabaya sana, hawa ni wezi wanaoongea tukiachana na wezi wanaokwapua
 
Huyo mwenye namba hiyo ni tapeliii anasema yupo dodomaa ila ni uongoo.. na uhakika ni member wa jf au kuna member humu anashirikiana nae kutapeli kiufupi aache kuna wengine hawana masiharaaa..!
Huwa wanachukua namba kimya kimya bila kukomenti ili ID zao zisijulikane.
 
Wewe kuna dada nilimtumia namba zako anakupigia toka juzi hupokei simu na wala hujamtafuta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom