Pyepyepye
JF-Expert Member
- Jan 6, 2017
- 1,940
- 3,825
1. Nina kabiliwa na tatizo la korodani yangu ya upande wa kushoto kuwa ndogo na laini kuliko ya upande wa kulia sambamba na uwezo wa kugegeda kupungua.
2. Ninalo tatizo la kuwa na mate lain yanye mchanganyiko na kamasi kwenye koo na hayaishi, tatizo huongezeka zaidi ninapokula vitu vyenye sukari.
Naomba msaada wenu wapendwa
2. Ninalo tatizo la kuwa na mate lain yanye mchanganyiko na kamasi kwenye koo na hayaishi, tatizo huongezeka zaidi ninapokula vitu vyenye sukari.
Naomba msaada wenu wapendwa