Premij canoon
JF-Expert Member
- May 27, 2018
- 1,115
- 2,490
Salaam wana JF...
Moja kwa moja nijikie kwenye jambo lililonileta hapa Jukwaani.
Iphone yangu inatatizo gani?
Mara ya kwanza nilitaka kudownload twitter baada ya kuifuta kwa bajati mbaya, lakini kule app store sikuipata ile application ya twitter, yaani nilikua siioni kabisa na hata niki-isearch haitokei, zinatokea apps zingine tu... Nikapuuza nikaachana nayo na ni muda mrefu kidogo umepita.
Leo pia kwa bahati mbaya nimeifuta instagram, nilipoingia app store kuidownload nayo siioni, yaani uki search zinakuja apps zingine tu lakini instagram haiji.
Shida itakua nini wakuu? Maana mwanzo haikua hivi hii simu.
Natanguliza shukraan
Moja kwa moja nijikie kwenye jambo lililonileta hapa Jukwaani.
Iphone yangu inatatizo gani?
Mara ya kwanza nilitaka kudownload twitter baada ya kuifuta kwa bajati mbaya, lakini kule app store sikuipata ile application ya twitter, yaani nilikua siioni kabisa na hata niki-isearch haitokei, zinatokea apps zingine tu... Nikapuuza nikaachana nayo na ni muda mrefu kidogo umepita.
Leo pia kwa bahati mbaya nimeifuta instagram, nilipoingia app store kuidownload nayo siioni, yaani uki search zinakuja apps zingine tu lakini instagram haiji.
Shida itakua nini wakuu? Maana mwanzo haikua hivi hii simu.
Natanguliza shukraan