snowhite na Madame B msisumbuke sana kujiuliza mambo mengi nenda kwenye profile ya huyu mdada kisha angalia threads zake alizoanzishaga humu jamvini utamjua ni mtu gani..............hapa watu wanatoka mapovu wakati mwenzao anawatania tu. tena watu wakipitia nyuzi zake watakuja kufuta post zao hapayani mpaka anasema hata tigo anatoa akiridhishwa mweh!ila naona anafanya maskhara manake naona kuna wadau wamekumbuka kuwa kuna thread alituma alisema ana miaka 27 so its kinda attention seeking ili watu washtuke fasta!ni nilikuwa namuimagine hyo mama wa miaka 55 aandike hayo aliyokuwa anacomment nikawa nasema mh!hata kama ni udot com hii sasa komesha!lakini kumbe sio kweli ni mtu tu kaamua kuzingua watu since hayuko real
Nataka mwisho 26 tu.
hapo umenena kweli kwamba watu wasichangie yaani wauchakachue uzi mwanzo mwisho ama la waupotezee tu.Ila ni kweli gfsonwin,
Lakini kwanini alete utani kwenye pahala pa U-serious?
Cha umuhimu hapa ni kuacha kuendelea kuchangia Post yake.
Anadhani kwa njia hyo aliyotumia ndo atampata?
Amechemka.
hapo umenena kweli kwamba watu wasichangie yaani wauchakachue uzi mwanzo mwisho ama la waupotezee tu.
Sitaki aoe na sitaki atafute Mtoto.
Mkuu King Kong III hivi hili neno maana yake huwa ni nini? Maana naona mara kwa mara unalitumia.
<iframe src="http://www.hulkshare.com/embed_mp3.php?fn=uuc2zmjg6w4r&type=4&skin=sheep" width=100% height=24 scrolling="no" frameborder=0 marginheight=0 marginwidth=0></iframe>