S3, HTC desire hd, HTC amaze 4g, au yoyote inayo fanana na hizo, bajeti 250,000 ziwe na kila kitu na bila tatizo lolote. Mwenye nayo aniPM fasta
usikalili s3 zimeshuka mpya lak 4 so kwa nn mtu asiniuzie used kwa bei hiyo?? Pia hizo price sio fixed, Ni adjustable kutegemea na condition ya simu
usikalili s3 zimeshuka mpya lak 4 so kwa nn mtu asiniuzie used kwa bei hiyo?? Pia hizo price sio fixed, Ni adjustable kutegemea na condition ya simu