Nahitaji mme

Nahitaji mme

luci

Member
Joined
Feb 15, 2015
Posts
20
Reaction score
6
Habari wana Jamii forums.

Kwa mara ya kwanza naingia humu kumtafuta ambaye atakuwa wa mtu wa karibu maishani kwangu.Nina miaka 29, ni mkristo,nimeajiriwa serikalini. Nipo Kahama.

Nahitaji mwanaume awe Mkristo. Awe na umri kuanzia miaka 30-37.

Tafadhali aliye serious tu naomba ani PM.
 
Kumbe humu zali huwa zinatokeaga e...
 
Karibu sanaJF, Ombi lako libarikiwe na Mungu liyekaribu yako !! Good wishies luci
 
Last edited by a moderator:
mi sifa zote ninazo ila sijasoma na sina kazi, unaweza kunihudumia tukiwa tunaishi pamoja!!!! nnaupendo wa ajabu na uzoefu pia
 
Mzee umechangamkia fursa seriously, kila la heri. Usitusahau kadi.

Wivu hunaaa, lakini roho inakuumaje!:lol::lol::lol::lol::lol::lol:! Kula hutaki na hutaki wenzio wale vile vile! Hahahahaaaa! Toa namba hapo (you never know na kina sie tunaweza kuichukua! expect the unexpected!)
 
Wivu hunaaa, lakini roho inakuumaje!:lol::lol::lol::lol::lol::lol:! Kula hutaki na hutaki wenzio wale vile vile! Hahahahaaaa! Toa namba hapo (you never know na kina sie tunaweza kuichukua! expect the unexpected!)
tel ze trus,
kama si problem
ya uume wangu kusimama
mara kwa mara ningekutafta
lakini aibu
hapa tayari ishasimama
 
dada kuwa makini maana msafara wa MAMBA na kenge wapo.....kuna mwenye ngozi ya kondoo kumbe ndani mbwa mwitu

MUNGU AKUPE HITAJI LA MOYO WAKO
Na kuna mwenye ngozi
ya mbwa mwitu
kumbe ndani ni kondoo

 
Hongera kwa uthubutu ila kilichoniacha hoi ndio kwanza una post 1 sasa wakiku-PM unajibu Vipi? au kama vipi njoo na ID ya zamani
-----------------------------------------------------
 
Wivu hunaaa, lakini roho inakuumaje!:lol::lol::lol::lol::lol::lol:! Kula hutaki na hutaki wenzio wale vile vile! Hahahahaaaa! Toa namba hapo (you never know na kina sie tunaweza kuichukua! expect the unexpected!)

Kwa mwendo huu nami itabidi nianze kupost yakwangu itokeapo nafasi....you never know heheheh
 
Kwa mwendo huu nami itabidi nianze kupost yakwangu itokeapo nafasi....you never know heheheh

Ukishapost ikiinhia SMS roho juuuuu! Moyo wakupwita juu juu. Na hivi umetumia line kanyaboya haijui MTU, unasema tayariii. Kuja kuidoma kumbe Voda na Jay Million. Hihihiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
Ukishapost ikiinhia SMS roho juuuuu! Moyo wakupwita juu juu. Na hivi umetumia line kanyaboya haijui MTU, unasema tayariii. Kuja kuidoma kumbe Voda na Jay Million. Hihihiiiiiiiiiiiiiiiii.

Alafu huu mchezo wa text za mitandao wa kishenzi sana, always wana wrong timing hawa jamaa. Unakuta upo kiroho juu unasubiri utumiwe text na mtu...ikiingia tu vibration unatamani kurusha simu. Afu kitu GAWIO la TigoPesa Tsh 250.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom