Gari ina thamani gani? Na je huwezi kwenda kuripoti police kuwa umepotelewa na card ya gari? Hapo mi naona dhamana iwe ni gari yenyewe tena kwa maandishi na mhuri wa wakili!
Gari ina thamani gani? Na je huwezi kwenda kuripoti police kuwa umepotelewa na card ya gari? Hapo mi naona dhamana iwe ni gari yenyewe tena kwa maandishi na mhuri wa wakili!
Mkuu gari ina thamani ya milioni 11, siwezi kufanya hicho kitu na tunaweza kwenda pamoja mpka TRA ili kueza kujihakikishia kuwa hicho kitu hakiezi kufanyika. Hiyo Gari ndo naitumia kwa mihangaiko ya kutafuta pesa ,sasa nikiiiacha inakuwaje tena
Mkuu gari ina thamani ya milioni 11, siwezi kufanya hicho kitu na tunaweza kwenda pamoja mpka TRA ili kueza kujihakikishia kuwa hicho kitu hakiezi kufanyika. Hiyo Gari ndo naitumia kwa mihangaiko ya kutafuta pesa ,sasa nikiiiacha inakuwaje tena