monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,883
- 13,631
Habar za muda huu ndugu wanajukwaa,
Sisi wana-JF ni familia,tunaweza kusaidiana kwenye shida kama vile ugonjwa,misiba na hata kwenye mambo mengine ya kifamilia
Nimerudi kwenu tena kwa mara nyingine,naomba mtu yeyote mwenye ndugu au rafiki mwenye sifa zifuatazo basi tuwasiliane pm (natafuta mke mwenye sifa zifuatazo)
1.Awe amemaliza/kuhtimu chuo kwa fani yoyote lkn, asiwe na kazi (awe bado hajaajiriwa)
2.Kama anatumia pombe siyo vbaya lkn, asiwe mlevi
3.Dini yoyote
4.Umri ni kuanzia 18yrs-30yrs
5.Itapendeza kama atakuwa kanda ya ziwa
6.Kama atakuwa na mtoto mmoja siyo mbaya (nipo tayar kumlea)
7.Nitafuata taratibu zote za ndoa halali lkn,hatutafanya harusi
NB:Mimi ni mwajiriwa wa serikali
Asanteni sana!
Sisi wana-JF ni familia,tunaweza kusaidiana kwenye shida kama vile ugonjwa,misiba na hata kwenye mambo mengine ya kifamilia
Nimerudi kwenu tena kwa mara nyingine,naomba mtu yeyote mwenye ndugu au rafiki mwenye sifa zifuatazo basi tuwasiliane pm (natafuta mke mwenye sifa zifuatazo)
1.Awe amemaliza/kuhtimu chuo kwa fani yoyote lkn, asiwe na kazi (awe bado hajaajiriwa)
2.Kama anatumia pombe siyo vbaya lkn, asiwe mlevi
3.Dini yoyote
4.Umri ni kuanzia 18yrs-30yrs
5.Itapendeza kama atakuwa kanda ya ziwa
6.Kama atakuwa na mtoto mmoja siyo mbaya (nipo tayar kumlea)
7.Nitafuata taratibu zote za ndoa halali lkn,hatutafanya harusi
NB:Mimi ni mwajiriwa wa serikali
Asanteni sana!