mwambunnyara
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 518
- 208
Mimi ni mwanaume mwenye miaka 31,elimu yangu ni degree moja,kazi yangu ni mwalimu ndani ya manispaa ya morogoro,kwa yeyote aliye tayari ani pm,awe mkweli,anayejua nini maana ya maisha,awe mcha Mungu,sibagui elimu wala kabila,awe na umri usiozidi miaka 30!!!