siamin kua wewe ni muislam ninachokiona umekuja kuuchafua uislam. katika uislam sifa za kumchagua mwanamke anayefaa tena kwa mtu anayeongeza mke sijaona kwenye vigezo ulivyoweka hata moja. muislam hakupewa frusa hiyo akapewa uhuru wa kuoa anavyotaka zina mashart yake. na ndio. maana wengi hawajaoa hao 4
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.