Nahitaji mke jamani, mwenye mapenzi ya dhati ajitokeze.

Nahitaji mke jamani, mwenye mapenzi ya dhati ajitokeze.

Mwamgunda

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
247
Reaction score
48
Naishi Mwanza kikazi, nina elimu ya chuo kikuu na umri wangu ni miaka 30. Nahitaji msichana mwembamba, mwenye weupe wa asili na asiye mrefu sana, umri wake uczidi miaka 25 pia asiwe na mtoto. Mwenye sifa hizo anakaribishwa pliiiiiiz, sichagui kabila, dini wala kiwango cha elimu, jambo kubwa awe na heshima na upendo wa dhati. Thanx!
 
upendo wa dhati hautafutwi bro it is something which comes naturally halafu jus try to be realman, hivi vitu havitangazwi kama bidhaa vinatokea tu, unaweza kumpata humu lakini awe siye halafu mwishowe atokee mwenyewe ambaye ndiye uliyepangiwa na Mungu wako n trust me anaweza asiwe na hivyo vigezo vyako
 
Go and find in othr way yl praying to God. Don't depend on getting a wife material via social networks it has its negative impact in future, wake up and open ur eyes!
 
Naishi Mwanza kikazi, nina elimu ya chuo kikuu na umri wangu ni miaka 30. Nahitaji msichana mwembamba, mwenye weupe wa asili na asiye mrefu sana, umri wake uczidi miaka 25 pia asiwe na mtoto. Mwenye sifa hizo anakaribishwa pliiiiiiz, sichagui kabila, dini wala kiwango cha elimu, jambo kubwa awe na heshima na upendo wa dhati. Thanx!

...mapenzi ya dhati yaliondoka na mafuliko ya mvua za elnino 1991...
 
Jitokezini akidada mnaohitaji kuolewa msione aibu maana jamaa kavunja ukimya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom