Nahitaji mizani used 0 mpaka 10 kg

Nahitaji mizani used 0 mpaka 10 kg

jashmoe32

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
1,098
Reaction score
437
Nahitaji mizani yenye uwezo wa kupima 0 mpaka 10 kg na iwe na mhuri na stika kutoka kwa wakala wa vipimo.

Budget yangu ni 40,000(maongezi yanakaribishwa)
 
kuna mtu alinifata pm na kuniambia niende kkoo pale sokono upande wa atm ya either nmb or nbc ambapo kuna parking ya magari, pale kuna jamaa anauza mizani pale nje ya hilo soko na sio ndani ya soko
 
kuna mtu alinifata pm na kuniambia niende kkoo pale sokono upande wa atm ya either nmb or nbc ambapo kuna parking ya magari, pale kuna jamaa anauza mizani pale nje ya hilo soko na sio ndani ya soko
Ok mkuu, ulipata kwa 40 au chini ya hpo?
 
Hapana mkuu nlinunua mizani aina ya Portable Electronic Scale inayocost chini ya T.Shs. 13,000 ambayo inaweza kupima mpaka 50 kg.
 
Nipe 90,000/-, imegongwa na ina mawe yake
IMG_20181020_070640.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20180927-140648.png
    Screenshot_20180927-140648.png
    197.4 KB · Views: 40
wakuu na mimi nahitaji mizani ya mawe taafdhali mwenye nayo pls
 
Back
Top Bottom