Nahitaji miwani ya macho, nipo Arusha

Lakikunene

Senior Member
Joined
Jul 18, 2017
Posts
129
Reaction score
145
Habarini wakuu na wataalamu mliopo humu...,nahitaji miwani ya macho na kusomea maana yananisumbua mno .,hivyo ni wap nitapata miwani na yenye frame nzuri pia
Nipo Arusha
 
Nenda Hosptali ya Mkoa utapata Huduma ya kupimwa macho pamoja na kupatiwa miwani kulingana na vipimo
 
Unapika/pimwa kwanza halafu ndio unapewa miwani. Hivyo nenda hospitali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…