mwanairinga Senior Member Joined Dec 21, 2015 Posts 179 Reaction score 12 Jan 13, 2016 #1 Ni kijana wa kiume ninamiaka 32, nimeajiriwa hapa DSM nahitaji mchumba awe kati ya miaka 25-28, mweusi, mnene pia awe mkiristo na asiwe mrefu sana. Karibu pm
Ni kijana wa kiume ninamiaka 32, nimeajiriwa hapa DSM nahitaji mchumba awe kati ya miaka 25-28, mweusi, mnene pia awe mkiristo na asiwe mrefu sana. Karibu pm
KISHINDO JF-Expert Member Joined Jun 23, 2013 Posts 2,202 Reaction score 1,957 Jan 13, 2016 #2 Akikupm akawa na miaka 34 na anakuzidi kipato, utamchukua????
kim2 Member Joined Dec 1, 2015 Posts 29 Reaction score 3 Jan 13, 2016 #3 Heheee apo kwenye mweusi mnene...ndopatamu
Daata JF-Expert Member Joined Dec 24, 2012 Posts 4,748 Reaction score 2,038 Jan 13, 2016 #4 Aisee na mimi niweke tangazo nini, mbona matangazo yamekuwa mengi japo sijui mrejesho wake.