ELIFURAHA MAKOMBE
Senior Member
- Dec 22, 2012
- 176
- 22
Habari za majukumu ndugu zangu wana jf,mim naitwa ELIFURAHA ni mwanaume mwenye elimu ya chuo (degree) bado natafuta ajira ya kudumu,ninaumri wa miaka 27 yrs nw,ni mrefu na mweusi wa maji ya kunde,ni mchaga na npo dar kwa sasa,nahitaji mchumba wakuja kuanza nae maisha,awe mweupe,mrefu kiasi,akubali dini yangu ya kikristo,elimu ya kuanzia kidato cha nne nakuendelea,mengine tutaelezana wenyewe:my contact is 0715 406010 may God be with us.AMENI