mashengera
Member
- Oct 9, 2014
- 6
- 1
Nipo Arusha aliye tayari animeet PM for more contact
Arusha sehem gan? maelezo yako mafupi wangoje wapo church watakuja
Kwa maelezo ya ilichokiandika utapata wa la saba mwenzako
mbona wewe unaji-exclude? au kwa vile unachukia sana wanaume kiasi cha kutamani kuwaua wote eeh? :smile-big:
Ninahasira nao mbaya ulijueje? hehe
Mbona hapo ulipo nimeziona NDITO kibao zinazopita kwenda gengeni, kisimani n.k. Kwa nini usiwaambie moja kwa moja kwamba unataka mpaka unaingia gharama za kuzungukia huku ambapo wao hawapitii njia hii.Nipo tengeru nahitaji msichana ambaye yupo ready
kwa uhandishi huo utawapata wasiojitambua tu
najua sana kuwa una hasira sana na wanaume. ila except mimi eeh? :smile-big: