Parachichi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2008
- 510
- 102
Wakuu heshima zenu,nataka kufungua duka la ujenzi hivi karibuni,nilikua nataka hizo mbao tajwa hapo juu kwa jumla,kwa yeyote anayefanya hii business ani pm tufanye business!dalal hatakiw manake nafahamu bei ya soko.nawasilisha wakuunipo dar wandugu