Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,737
Wakuu habari!
Nina idea ya kufanya biashara ya kununua mayai ya kizungu kwa bei ya jumla na kuyauza kwa bei ya reja reja ..
Sasa, wapi naweza kupata hayo mayai kwa bei ya jumla kwa hapa DSM, na kwa bei gani?
Nimeona soko lipo kwa hawa wauza chips , na madukani, ila naomba kufahamishwa masoko mengine zaidi..
NB, Naishi DSM, Kimara Korogwe
Whatsapp 0654171555
Karibu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nina idea ya kufanya biashara ya kununua mayai ya kizungu kwa bei ya jumla na kuyauza kwa bei ya reja reja ..
Sasa, wapi naweza kupata hayo mayai kwa bei ya jumla kwa hapa DSM, na kwa bei gani?
Nimeona soko lipo kwa hawa wauza chips , na madukani, ila naomba kufahamishwa masoko mengine zaidi..
NB, Naishi DSM, Kimara Korogwe
Whatsapp 0654171555
Karibu
Sent from my iPhone using JamiiForums