Nahitaji mashine ya juice ya miwa ya kukodi

Nahitaji mashine ya juice ya miwa ya kukodi

Podcast

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2018
Posts
842
Reaction score
1,031
Habari ndugu zangu,

Leo nimekuja hapa mapema hii nikiwa na shida ya hii mashine ya kutengeneza juice ya miwa, nahitaji kutoka kwa mtu atakayeweza kunikodisha na sio kununua. Awe Dar es salaam na bei ya kukodisha iwe affordable
 
Habari ndugu zangu,

Leo nimekuja hapa mapema hii nikiwa na shida ya hii mashine ya kutengeneza juice ya miwa, nahitaji kutoka kwa mtu atakayeweza kunikodisha na sio kununua. Awe Dar es salaam na bei ya kukodisha iwe affordable
Naelekea kariakoo nikakuulizie kwa wanaouza juisi za miwa pale.

Kama deal sema nile hata 10 chap

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama bado una uhitaji nayo.. ninayo mashine nimetumia myezi mitatu tu.

Njoo uikague ikikuridhisha tunaingia kwenye bei.
Mashine inatumia generator (petrol) ipo tandika mawasiliano 0626908654
Haina udalali mm ndo mmiliki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom