Umetupata...sema jingine kama unalo
kakimbia marafiki huyu bora tubadilishane mawazo wenyewe
Au kakimbilia huko pm...mana hawachelewi hawa
Umetupata...sema jingine kama unalo
nmmmh nakweli!! sasa mawazo gani hadi pm jamani?
kama kaficha analokusudia hv au mawazo yangu...!!!!
Aje afunguke vizuri tumwelewe