Nahitaji makaa ya mawe

GAGL

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2010
Posts
392
Reaction score
400
Wanajamvi naomba kwa yeyote anayejua wapi nitapata makaa ya mawe anisaidie kunielekeza. Nahitaji msaada wenu.
 
nenda kiwira coal mine.stamico ipo mbeya karibu na kyera
 
njoo
songea yapo

songea sehemu gani
yanakopatikana?litapwasi,peramiho,namatuhi,mpitimbi,madaba,mlilayoyo,hanga,ngadinda,mtyangimbole,shule
ya tanga,mletele?au
kunyumbani kwetu kwenyuko.!au bombambili,lizaboni,kule kwa mchaka(misufini),ruvuma.,na maeneo mengne hapo town?ngwinde je?
 
Nivea, Nipo dar, ila nahitaji kwenda kuyatumia tabora, hivyo itakuwa vema kama nitayapata karibu na eneo angalau mkoa unaopakana, mfano mbeya kama alivyosema mdau mmoja kuwa, pale kiwila mbeya nitayapata.
 
Kama uko serious wasiliana na wachimbaji. Haiwezekani ukayahitaji na usijue pa kupata.
 
Wanajamvi naomba kwa yeyote anayejua wapi nitapata makaa ya mawe anisaidie kunielekeza. Nahitaji msaada wenu.

Haujaweka mawasiliano yako Mkuu, unahitaji kiasi flani mara moja tu au una project endelevu, unahitaji supply ya kiasi gani kwa wiki? Tuwasiliane Mkuu.
 
Nahitaji makaa ya mawe please call me aliyenayo.
0715800888
 
Haujaweka mawasiliano yako Mkuu, unahitaji kiasi flani mara moja tu au una project endelevu, unahitaji supply ya kiasi gani kwa wiki? Tuwasiliane Mkuu.
Habari vipi nawezapata makaa ya mawe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…