Hammy Js
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 3,053
- 3,269
Unapatikana mkoa gani ndugu?Hata mahindi ukitaka maana ndio maisha yangu
Unapatikana mkoa gani ndugu?Hata mahindi ukitaka maana ndio maisha yangu
Na mi pia nahitaji we upo mkoa gani mi nipo DSMHabari, bado unahitaji maharage?
Stock yangu ipo Kilimanjaro unahitaji kiasi gani na kwa lini maana kilimo tumeshaanza tena kwa maana hiyo yatakuwa mengi ya mwaka juzi, jana na mwaka huuUnapatikana mkoa gani ndugu?
Mi nipo dsm,nikihitaji uniletee kg 500 za Maharage (ya mwaka huu) utanifanyia sh ngap kwa kg nduguStock yangu ipo Kilimanjaro unahitaji kiasi gani na kwa lini maana kilimo tumeshaanza tena kwa maana hiyo yatakuwa mengi ya mwaka juzi, jana na mwaka huu
Mi nipo dsm,nikihitaji uniletee kg 500 za Maharage (ya mwaka huu) utanifanyia sh ngap kwa kg ndugu
Duh upo juu sana,huku bei ni inarange kwenye 1800-2400 asa kwa hiyo bei sipati chochote na pengine nitaambulia hasara tuBila usafiri kilo 1 ni sh 2000
We si ndo uliyetangaza kilo 800 au nmekosea kuquote?Bila usafiri kilo 1 ni sh 2000
Mkuu nahitaji shamba la maharage Arusha,naweza pata?nipe no yako inbox tuongeeKilimanjaro na Arusha ndio mashamba yangu yalipo
We si ndo uliyetangaza kilo 800 au nmekosea kuquote?
shamba moja wapo lipo sanya station bomangombe wilaya ya Hai kilimanjaro sio mbali na arusha sh 150,000 kwa mwakaMkuu nahitaji shamba la maharage Arusha,naweza pata?nipe no yako inbox tuongee
Lina heka ngapi?na msimu unaanza lini wa kilimo hicho huko?shamba moja wapo lipo sanya station bomangombe wilaya ya Hai kilimanjaro sio mbali na arusha sh 150,000 kwa mwaka
heka 1 au unataka ngapi, ukitaka cha kumwagilizia sawaLina heka ngapi?na msimu unaanza lini wa kilimo hicho huko?
heka 1 au unataka ngapi, ukitaka cha kumwagilizia sawa
valentina yako ni njano?nauhakika hautochanganya,ukivuna tuwasiliane nitakuungisha hata gunia wanguNgoja niweke alama huu uzi, nakaribia kuvuna maharage
Ooh my, yangu ni lezi koko mwaya... Next nitapanda na hayo ya njano kama unayapenda sana my dear..valentina yako ni njano?nauhakika hautochanganya,ukivuna tuwasiliane nitakuungisha hata gunia wangu
Mkuu njoo nikuuzie maharage ya njano 1kg kwa 1600 usafili juu yako boss 0652299160Duh upo juu sana,huku bei ni inarange kwenye 1800-2400 asa kwa hiyo bei sipati chochote na pengine nitaambulia hasara tu