Nahitaji madini ya mercury kwa udi na uvumba.

Nahitaji madini ya mercury kwa udi na uvumba.

Dr.adams faida

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
1,913
Reaction score
3,450
NImejipanga kuanzisha mwalo kwa ajili wa wachimbaji wadogowadogo wa madini ya dhahabu kwa sasa naitaji msaada wa madini ya mercury tu.
Aliye na mzigo huo anipm tufanye biashara,
 
Back
Top Bottom