Nahitaji line ya M-Pesa

Nahitaji line ya M-Pesa

Don chul Lingula

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2017
Posts
363
Reaction score
276
Habari zenu wadau wa JF,

Nahitaji line ya wakala ya M-Pesa,

Kwa mwenyewe tuwasiliane bei yake isiwe juu sana, si mnajua vyuma vimekaza.
 
Nakushauri nunua laini ya uwakala wa mpesa au airtel money kwa wakala mkuu aliye karibu yako utakuja kupata shida ya kimtandao alafu utaambiwa wakala wako mkuu yupo kigoma na ww upo lindi na mchezo utakuwa umeishia hapo yan nina uzoefu wa 9yrs kwa industry hii uliza chochote. Ntakujibu 0764616353
 
Nakushauri nunua laini ya uwakala wa mpesa au airtel money kwa wakala mkuu aliye karibu yako utakuja kupata shida ya kimtandao alafu utaambiwa wakala wako mkuu yupo kigoma na ww upo lindi na mchezo utakuwa umeishia hapo yan nina uzoefu wa 9yrs kwa industry hii uliza chochote. Ntakujibu 0764616353
Mchezo utakuwa umeisha kvp kaka nielezee vizuri kdogo
 
Back
Top Bottom