Nahitaji laptop, nina sh. laki nne

Nahitaji laptop, nina sh. laki nne

tata mvoni

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
534
Reaction score
81
habari wakuuu naomba mwenye laptop aniuzie kwa bei ya laki 4. Nahitaji brand zifuatazo dell,hp,compaq,hp au toshiba. Iwe na sifa hizi processor walau 1.8 ghz dual core or higher, 2gb ram or higher, hard disk 320gb or higher,battery life walau masaa matatu.
namba yangu 0786404808 au ni-pm
 
Unadhani utawezaje kuvuta intention ya watu? Mie shida yangu ni laptop hayo mengne mbwembwe
 
habari wakuuu naomba mwenye laptop aniuzie kwa bei ya laki 4. Nahitaji brand zifuatazo dell,hp,compaq,hp au toshiba. Iwe na sifa hizi processor walau 1.8 ghz dual core or higher, 2gb ram or higher, hard disk 320gb or higher,battery life walau masaa matatu.
namba yangu 0786404808 au ni-pm

Labda mbovu.
 
Invisible huyu hekimatele anaflud sana kwnye thread za matangazo na kuharibu mpangilio wa matangazo mapya na ya zamani, nadhani anahitaji onyo.

cc Paw Buchanan

sema usikike. Ongea lugha zinazoeleweka.
Si wengine wafanyabiashara mkuu. Hatuna wito na thread za mapenzi wala siasa. Huku kwenye matangazo ndo tunapokuja kufanya ya maana. Kule kwingine ni kelele tu. Kosa liko wapi?
 
Jamani ninmepata computer tena mpyaaa na kwa bei rahisi kabisa.JAMII FORUMS IDUMU
 
Wanajamvi nina samsung laptop mpya,ram 4gb,hdd 750gb,processor 2.5,ina warranty card nimeinunua kama siku tatu zilizopita.Ina rangi ya silver.Naiuza coz nimepata matatizo nyumbani nitanunua next semester.Bei 640,000/=Nitafute hapa
 
Hakuna shaka Kikwete ana uwezo wa kubadilika na kuwa mkali na mtu wa msimamo wa juu kama akiamua. Lets just hope hajaropoka and then aishie kukamata dagaa badala ya mapapa wa ufisadi. He has put himself to a test in the eyes of watanzania. na huu mtihani ataupita kama ataacha huo ubia ambao anawadanganya watanzania kwamba hana wakati kilichompa nafasi ya uongozi wa serikali (sio nchi au taifa), ni mafisadi.

Kikwete hajachafuka bado, hilo halina mjadala. Kwahiyo kutokana na political crisis iliyopo, tulitegemea afanye kitu cha maana kwenye huo mpitisho wa wagombea NEC (huu haukuwa uchaguzi hata kidogo ulikuwa ni mpitisho), lakini as long as as ametoa ahadi kushughulikia mafisadi, labda tumpe muda kidogo. Lakini subira yetu hii tunataka izae matunda na mafisadi wa BOT na mikatba ya madini na umeme washughulikiwe.

Asisahau kwamba kuna nchi, taifa na serikali na yeye na wenzake hao wa mtandao wenye kukatia viuno mchiriku kutokana na kupitishwa NEC [picha za mchiriku zipo kwenye gazeti la Mwananchi] katika haya matatu ya taifa, nci na serikali, wameshika moja tu - serikali.

Kwanini uchaguzi ulimalizika usiku na matokeo kulala hadi kesho yake? jib ni rahisi sana. usiku ule mafisadi hawakulala. walikuwa busy wakipitishana na kupeana kura nyingi ili waonekane wana support kubwa ndani ya chama.

Kweli ccm kuna utamu. Hata mzee malecela anafikia hatua ya kusema kama akibaki mwanachama mmoja wa ccm basi atakuwa yeye? All this is not coincidence. At 73 years old, he must be expecting aidha pesa za BOT kama za mzindakaya akafungue mashamba yake ya mazabibu huko ugogoni au atatengenezewa cheo cha kumtunza.

Chama cha mapinduzi kitadumu. Ila viongozi wake wa sasa wameishiwa fikra sahihi.
Mkuu tata mvoni nani aliekuuzia nami natafuta.
 
Last edited by a moderator:
nanikakwambia laptop inauzwa laki nne...kama inauzwa laki nne nenda kanunue dukani...au unatakazile za wizi(za dili)?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom