masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,827
- 16,908
kama unayo tupia namba hapa fasta na bei zake
pia kama una vifaranga sema shingapi
SITAKI MAYAI NATAKA KWARE
pia kama una vifaranga sema shingapi
SITAKI MAYAI NATAKA KWARE
kama unayo tupia namba hapa fasta na bei zake
pia kama una vifaranga sema shingapi
SITAKI MAYAI NATAKA KWARE
Mimi ninayo, zingatia location ya supplier, where are based? I have 12
Huyo hapo
Haya madude yanashtushaga mtu vibaya kama limejificha mahali linakurupuka! kuna siku nilisha wahi kudaka limoja nikaliweka ndani siku mbili likafa lenyewe!
Khaa!! Hivi kware hawakuwepo tokea zamani? Tofauti yake na kuku nini? Serikali imekaa kimya tu wanatafuna kodi zetu huku hizi habari zikizagaa kwenye mitandao bila kututhibitishia. Isije kuwa kama kikombe kile tu:glasses-nerdy:Hahaha! Jambazi utaogopaje? Ni kweli, ni ndege wa asili ya porini ila kwa sasa ndio habari ya mjini, kuanzia nyama yake mpaka mayai. Ukiwa nao hao ni dili sana na wanapendwa kwa sababu hawana gharama kubwa ya utunzaji na hawaugui ovyo.
Khaa!! Hivi kware hawakuwepo tokea zamani? Tofauti yake na kuku nini? Serikali imekaa kimya tu wanatafuna kodi zetu huku hizi habari zikizagaa kwenye mitandao bila kututhibitishia. Isije kubwa kama kikombe tu:glasses-nerdy:
Tofauti ya viini lishe kati ya kware na kuku ni nini?Ni ndege wa porini, ukienda morogoro, singida, dodoma, iringa na mikoa karibu yote mpaka sasa wapo maporini ila kufugwa ndio jambo geni ingawa kwa nchi kama Uchina na Japan walianza zamani wakiwatumia kwa matibabu.
Tofauti ya viini lishe kati ya kware na kuku ni nini?
Khaa!! Poa kiongozi lakini mzigo uko sokoni na unaliwa kwa kasi sana :alien:Sina uhakika, labda waje wajuzi watupe mwanga.
Khaa!! Poa kiongozi lakini mzigo uko sokoni na unaliwa kwa kasi sana :alien:
Khaa!!Wabongo bana kupima afya zao wajijue hawataki. Ila ukiwaambia hii ni dawa inaibu ugonjwa fulani ajabu yao wanaitumia :alien:Wanaliwa sana kwa sasa hasa mayai yao mabichi.
Khaa!!Wabongo bana kupima afya zao wajijue hawataki. Ila ukiwaambia hii ni dawa inaibu ugonjwa fulani ajabu yao wanaitumia :alien:
Ndiyo vi nini hvi weken basi picha pengne ninavyo ila sivijui
Khaa!! Masai na kware wapi na wapi? Hata hivyo nakupa bigup kwa kuiona fursa. Ni kama upepo hivi mara mafuta ya ubuyu sasa hivi mayai ya kware. Sijajua madhara yatakayo na ndege hao wa porini kwa ndege wa kufuga. :glasses-nerdy:
Haya madude yanashtushaga mtu vibaya kama limejificha mahali linakurupuka! kuna siku nilisha wahi kudaka limoja nikaliweka ndani siku mbili likafa lenyewe!
Ooh!! Mie mshamba sana hili nilikuwa silijui kabisa? Sasa una andikiwa na daktari au unakula kwa uwezo wako?:glasses-nerdy:unaambiwa mayai yake yanaongeza cd4