Alexander McQueen
Senior Member
- Aug 30, 2016
- 186
- 41
Ndugu wana jf poleni kwa majukumu kuna ndugu yangu amehitimu form four mwaka 2015 na alipata III 25 CIV D ENG C PHY D KISW C BIOS D HIST D CHEM C GEO D B/MATH D lakini uwezo wa kusoma private school haiwezi na pia kujisomesha chuo hawezi anahitaji kusoma kama private candidate five & six comb ya EGM au CBG na hujui sheria za kujisajili ni zipi ili afanye mitihani.
Kama PC na je akifaulu form six atapata mkopo O level amesoma St kayumba interior hukoo na alikuwa vzr tuuu masomo ya sayansi ila mazingira ndio yalimfelisha na angehitaji sana ushauri na wapi anaweza akosemea
Kwani yeye yupo mkoa wa MWANZA
Kwa mawasiluano kwa ajili ya ushauri
Watsap no 0758-494651
Email andrewsosipeter@gmail.com
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama PC na je akifaulu form six atapata mkopo O level amesoma St kayumba interior hukoo na alikuwa vzr tuuu masomo ya sayansi ila mazingira ndio yalimfelisha na angehitaji sana ushauri na wapi anaweza akosemea
Kwani yeye yupo mkoa wa MWANZA
Kwa mawasiluano kwa ajili ya ushauri
Watsap no 0758-494651
Email andrewsosipeter@gmail.com
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app