Nahitaji kusafiri kwenda Msumbiji

Nahitaji kusafiri kwenda Msumbiji

sizy

Member
Joined
Jun 14, 2010
Posts
29
Reaction score
4
Ndugu wana bodi naombeni msaada,

Nahitaji kusafiri kwenda msumbiji, mimi ni Mtanzania, je ninahitaji visa? ni mahitaji gani yanatakiwa? Nitakaa kwa muda wa siku tano.

Asanteni.
 
au piga namba hii ubalozi watakusaidia majibu sahihi 0222124673
 
Back
Top Bottom