Smart Technician
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 653
- 826
nahitajo kuwa na mastercard au visa nnaweza nkapata wapi hapa bongo?
je ni kweli visa card inatumika kila benki?
je ni kweli visa card inatumika kila benki?
nahitajo kuwa na mastercard au visa nnaweza nkapata wapi hapa bongo?
je ni kweli visa card inatumika kila benki?
nisaidie na jinsi ya kutumia.maana huku kwetu tumezoea weka fedha kwenye kibubu bas
Sasa kama hujui jinsi ya kutumia unahitaji ya nini?
nahitajo kuwa na mastercard au visa nnaweza nkapata wapi hapa bongo?
je ni kweli visa card inatumika kila benki?
account ya benki nnayo na nnaitumia vizuri
Bank karibu zote zina master card,,VISA ,,ila sio bank zote unaweza kutoa pesa...mfano mm Nina master card ya CRDB,,,nikiwa south inakuli STANDARD BANK...pekee...sijuwi kwa zingine,,,ila kama una account,,, nenda bank ask for master cardnahitajo kuwa na mastercard au visa nnaweza nkapata wapi hapa bongo?
je ni kweli visa card inatumika kila benki?