nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
jamani mi naona umri unasogea kauli ile ya bado niponipo imeanza kunishinda sasa waungwana nahitaji mwanamke mwenye sifa zifuatazo:-
1. Asiwe mweusi sana maana mimi ni mweusi naogopa tusije tukazaa mwenye rangi ya mkaa
2. Asiyekuwa na mapengo wakati wa tabasamu avutie
3. Asiyekuwa na meno yaliooza na kujaa ukungu
4. Asiye kuwa na historia ya kuliwa na funza udogoni maana wanaharibu vidole na kucha za miguu
5.Asiwe bonge mpaka ikashindikana kujua kiuno na tumbo viko wapi na kunifanya kupata shida katika kuitafuta 'K'
6. Asiwe na makengeza
7. Asiwe na sauti ya kibase ya mwanaume
8. Asiwe na ndevu maana tutashindwa kutofautishana
9. Asiwe na utangoutango
10. Asiwe na bikra maana siku hizi zipo za kutengeneza. Nitarudi baadae kuongeza zingine
1. Asiwe mweusi sana maana mimi ni mweusi naogopa tusije tukazaa mwenye rangi ya mkaa
2. Asiyekuwa na mapengo wakati wa tabasamu avutie
3. Asiyekuwa na meno yaliooza na kujaa ukungu
4. Asiye kuwa na historia ya kuliwa na funza udogoni maana wanaharibu vidole na kucha za miguu
5.Asiwe bonge mpaka ikashindikana kujua kiuno na tumbo viko wapi na kunifanya kupata shida katika kuitafuta 'K'
6. Asiwe na makengeza
7. Asiwe na sauti ya kibase ya mwanaume
8. Asiwe na ndevu maana tutashindwa kutofautishana
9. Asiwe na utangoutango
10. Asiwe na bikra maana siku hizi zipo za kutengeneza. Nitarudi baadae kuongeza zingine