Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 842
- 3,483
Hivi ni maeneo gani hapa town kuna huo mfumo?Nlijuwa kifuru kuna mfumo wa maji taka kwenye nyumba zenu huko
Kumbe bado mnatumia mashimo ya choo
Ova
Si ule pipes zinaunganishwa nyumba kwa nyumba halafu bomba moja inabeba?