Kuna binti nlimtongoza kama utan tu na kwa kua alkua anakataa kuwa na boy kwa wakat ule alinikatalia kabisa na kwa kuwa alkua ni rafik yangu basi nilijckia aibu xana kwa kunikataa kwake,hivyo nlitumia ushawishi wangu kama mtoto wa kiume mpaka akakubali ili tu niondoe aibu. Sasa binti kakolea ile mbaya kwangu na mimi sina hata mpango nae kwa sasa,lakin NAHITAJI KUMUACHA KWASABABU SINA MAPENZI NAE KABISA NA SIJUI HATA NIFANYAJE ILI NIWEZE KUACHANA NAE.
NAOMBENI USHAURI WENU WANA JF ILI NIWEZE KUACHANA NAE
NAOMBENI USHAURI WENU WANA JF ILI NIWEZE KUACHANA NAE