Mtoto wa kiume
New Member
- Apr 21, 2013
- 1
- 0
Je kuna madhara yoyote ukifanya mapenzi kinyume na maumbile? Naombeni ushauri
mbona mnairudiarudia hii topic yenu ya ufirauni? ni mara ngapi swali hili linaulizwa hapa?
inaonekana wewe huwa hutumii kondom katika sex!ndugu yangu naomba nikushauli kama ifuatavyo:-
1). mwanaume
ukifanya kitendo hicho milija ya mboo huingiza chembe chembe za mavi kwenye kibofu cha mkojo, na madhara yake ni UTI na kuziba njia hiyo= tiba mwone Doctor
2) herbes ni aina ya virus utavipata ukiingia huko kumavi = tiba hakuna tiba mbaka sasa zaidi ya YESU
3)mwanamke: mishipa kulegea na kunya hovyo au kujamba bila mpangilio
4) wakati wa kuzaa ------ hauwezi kufunga, hivyo kuruhusu mavi kutoka na kushindwa kusukuma mtoto
5) anal cancer- kansa ya ------
6)UTI
7)bawaziri
8)ni kosa kwa MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA DUNIA
lakini ninaimani unaakili timamu na sio kuiga porno video, itakula kwako