Franklinyo
Member
- Mar 22, 2014
- 46
- 1
Ni kweli kwamba wakina dada wanapenda kudangwanywa kuliko kuambiwa ukwel nisaidieni jamani.
Heeeh!!!!!
Ni kweli kwamba wakina dada wanapenda kudangwanywa kuliko kuambiwa ukwel nisaidieni jaman
Ni kweli kwamba wakina dada wanapenda kudangwanywa kuliko kuambiwa ukwel nisaidieni jaman
Kuna sehemu nilisoma kuwa mwanaume anayeeleza ukweli wote basi hakupendi...huenda hii ni kwa kaka zetu hapa Bongo. Binafsi napenda kuelezwa kweli tu niamue mwenyewe kusuka au kunyoa.
Maisha bila uongo sometimes hayaend...
Wewe unaulizia uongo kwenye mapenzi??
eh..jamani..kwani wewe umeckia wapi?
Heeeh!!!!!
ndio ichana uongo wa mapenzi