Nahitaji kujua gharama za mtaji

pascal luoga

JF-Expert Member
Feb 23, 2019
232
257
Habari ndugu zangu wa jamii forums natumai mu wazima..

Kuna ndugu yangu anahitaji na anatamani kufanya hii biashara ya PHONE AND ELECTRONIC ACCESORIES. jana aliniuliza kuhusu mtaji wa kuanza nao nikakosa jibu halisi la kumpa...

Sasa nilikuwa nahitaji kufahau kwamba yaweza kugharimu mtaji wa kiasi gani kwa kuanza nayo????

NOTE.
Yaani gharama ya kununua mzigo tu!!, ukiachana na frem na gharama nyngne za ukarabati.

Pia duka liwe na vifaa tu bali si SIMU. Yaani asiuze simu yoyote bali ni vifaa tu mfano. Chargers,headphones, memory card,covers, pads za kuchezea game......n.k

Pia duka liwe kidogo lina mvuto i mean ni frame, sio vbanda umiza kama vya tigo pesa...

Wenye ujuzi naombeni mjaribu kutoa ushauri juu ya hili.

AHSANTENI SANA, PIA NAWATAKIA JMOC NJEMA.
 
Anataka kufanya hiyo biashara mkoa gani?
Alishawahi kufanya biashara?
 
Kama ni dar es salaam na ana uzoefu na manunuzi

Nashauri awe na 1.5M
Anunue vifaa kwa jumla na aanze kwa kusambaza mtaani(maduka ya mtaani)

Hii itampa uzoefu zaidi, itampa fursa ya kutengeneza soko lake na itamsaidia kujua machimbo ya bei nafuu
Pia akija kusettle kwenye frem atakuwa na uwezo wa kuuza jumla na rejareja kwa kutumia mtando wa wateja walewale aliowatengeneza wakati anazunguka madukani.
 
Kama ni dar es salaam na ana uzoefu na manunuzi

Nashauri awe na 1.5M
Anunue vifaa kwa jumla na aanze kwa kusambaza mtaani(maduka ya mtaani)

Hii itampa uzoefu zaidi, itampa fursa ya kutengeneza soko lake na itamsaidia kujua machimbo ya bei nafuu
Pia akija kusettle kwenye frem atakuwa na uwezo wa kuuza jumla na rejareja kwa kutumia mtando wa wateja walewale aliowatengeneza wakati anazunguka madukani.
Kwa milioni 8 duka haliwezi kusimama mkuu??
 
Kwa milioni 8 duka haliwezi kusimama mkuu??
Mkuu, inawezekana sana kuanza na 8M au zaidi au pungufu.
Mimi sio muumini mzuri wa kuanza bishara yoyote kwa mtaji mkubwa na wakati wote nikipata fursa ya kushauri huwa nashauri hivyo.

Unapoanza biashara, pesa ni muhimu lakini kuna mambo ni muhimu kuliko pesa na ni mtaji mzuri kuliko pesa.

1.Ujuzi (kwenye biashara husika)
2.Mtandao ulionao kwenye bishara husika.
3.Kiwango chako cha uaminifu
4.Fedha

Unapoanza biashara kwa mtaji mkubwa bila uelewa wa kutosha, ni rahisi sana kupoteza kuliko kufanikiwa.
 
Sawa mkuu
Mkuu, inawezekana sana kuanza na 8M au zaidi au pungufu.
Mimi sio muumini mzuri wa kuanza bishara yoyote kwa mtaji mkubwa na wakati wote nikipata fursa ya kushauri huwa nashauri hivyo.

Unapoanza biashara, pesa ni muhimu lakini kuna mambo ni muhimu kuliko pesa na ni mtaji mzuri kuliko pesa.

1.Ujuzi (kwenye biashara husika)
2.Mtandao ulionao kwenye bishara husika.
3.Kiwango chako cha uaminifu
4.Fedha

Unapoanza biashara kwa mtaji mkubwa bila uelewa wa kutosha, ni rahisi sana kupoteza kuliko kufanikiwa.
 
Back
Top Bottom