Naomba kwa mtu yeyote anayefahamu CV ya Kamishna mpya wa TRA aniambie kwani toka serikali ya awamu ya tano kuingia madarakani huyu ni Kamishna wa tatu katika taasisi hiyo nyeti ya ukusanyaji kodi nchini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.