Naombeni ushauri wenu mimi ni mhitimu wa chuo. Nahitaji kujiajiri kwenye kilimo....changamoto sijapata zao ambalo ni la moja kwa moja kulifanyia kazi..naombeni ushauri wenu... Niko mikoani.. Ardhi ipo ya kutosha na maji yapo ila financial status ya wakaz wa huku sio nzuri sanaa... Naomba kuwasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app