Nahitaji kujenga nyumba Kibaha bajeti milioni 7

Ko hiyo cost ya ufundi inahusu ring beam wala nguzo au
 
Nimetumia 12M kujenga 2 rooms moja ikiwa master, public toilet, jiko na sebule lakini nimeishia kuweka bati, milango na madirisha Mkuu. Unaweza kupata picha hapo
Huenda hatujamuelewa boma atamaliza ila cyo mpka bati
 
Inategemeana pia na site, kwa mfano mimi msingi peke yake ilinigharimu 5.8 , zilotumika tofali za inch 6 1350, imagine hapo msingi tu
 
Wakuu nimejichanga nimefanikiwa kukusanya miilliomn 7, nina kiwanja Kibaha, naomba ushauri kwa million 7 naweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu, choo na sebule?

Mwenye mawazo ya bajeti hii na aina ya nyumba naombeni mtazamo wenu.
Unajenga nyumba umechanja?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…