laii
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 834
- 1,060
Choo nje si Salama Kwa watotoHiyo haina public ina self mbili ko mambo ya public ni nje,cheki hii ya chini ina public but ni ya nje
Sent using Jamii Forums mobile app
Choo nje si Salama Kwa watotoHiyo haina public ina self mbili ko mambo ya public ni nje,cheki hii ya chini ina public but ni ya nje
HONGERA MKUU.Kwa leo nipo nayo mbali ila kwa nyuma inaonekana hiviView attachment 813499
bacarymoa@gmail.comNitumie email address yako nikutumie the total budget
Inatosha mkuuInakuaje gharama ikawa kubwa hivyo?
Jamaa huyo kajenga huko kanda ya ziwa cement ni 18k mfuko.
Ila mi nataka nijenge Chumba na sebule kikali, bajeti km 10M hv
Wakuu nimejichanga nimefanikiwa kukusanya miilliomn 7, nina kiwanja Kibaha, naomba ushauri kwa million 7 naweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu, choo na sebule?
Mwenye mawazo ya bajeti hii na aina ya nyumba naombeni mtazamo wenu.
Nimetumia 12M kujenga 2 rooms moja ikiwa master, public toilet, jiko na sebule lakini nimeishia kuweka bati, milango na madirisha Mkuu. Unaweza kupata picha hapo
Nyumba ya familia bila milioni 30 usijigusu tena bila uzio hapo.
NDUGU YANGU NAOMBA TUWASILIANE..... NAONA UNA MSAADA MKUBWAA.Utafika level ya pagala hadi linta,utaongeza tena kama 8 nyingine ili uhamie.
-Matofali =1800 (1.8m)
-Gharama ya Ufundi (1500 +600 =2100 x 300 =630,000)
-Kuchimba Msingi (Laki 1)
-Cement Mifuko 60 (60 x 14000 =840,000/=)
-Mchanga Mende 1 (250,000/=)
-Kokoto 1 (130,000/=)
-Lintel gharama(Nondo 30 na Mifuko 6 ya cement = 700,000)
Hapo Juu hadi linta una kama 5m hivi.
Kuna watu mnajua kuvunja wenzenu moyoSiyo kweli
Naomba kapicha mkuuHongera sana.
Nimejenga Goba room tatu mbili master, jiko sebule baraza mbili, shimo la choo nimefunika.
Nimepaua nyumba tayari.
Hadi hapo million 15
Iyo itatosha kujenga 1 master na sitting room na jiko la kiskaji kama hiiView attachment 813237
Hii ni kwa milioni saba?Wagonga ulimbo tumefanya hivi halafu wewe una saba unajishauli nn chakuomba mungu fundi awe mwaminifuView attachment 1661932