jem_the_great
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 289
- 159
siyo kesi mkuu, majuzi nilimwomba manzi wangu kiasi fulani cha fedha akanisaidia bila kusita na akaniuliza ''kiasi ulichoomba kitakutosha mpenzi??'' nikamjibu ndiyo maana kilinitosha kabisa kutatua hitaji langu!!!
demu mshamba ata maind
Ila wazungu wanasema "love doesnot mean to give but to share"!!!
It depends on the Circumstances..........
mie tunasaidiana....ko sioni shida.......
ha ha ha ha LOL ..........linakuzimia mrembohilo liavatar lako linanitisha.......