siyo kesi mkuu, majuzi nilimwomba manzi wangu kiasi fulani cha fedha akanisaidia bila kusita na akaniuliza ''kiasi ulichoomba kitakutosha mpenzi??'' nikamjibu ndiyo maana kilinitosha kabisa kutatua hitaji langu!!!
siyo kesi mkuu, majuzi nilimwomba manzi wangu kiasi fulani cha fedha akanisaidia bila kusita na akaniuliza ''kiasi ulichoomba kitakutosha mpenzi??'' nikamjibu ndiyo maana kilinitosha kabisa kutatua hitaji langu!!!
Jenga mazingiar aone yeye mwenyewe haja ya kukupatia pesa na sio wewe uanze kulalamika na kudai akupe pesa, ukishakubali hilo basi jiandae kukubali na mambo mengine hapo baadae
ubaya wa nini hapo?? hakuna ubaya kama anayo iyo hela unayotaka kumwomba, ila utakuwa wa ajabu ukimwomba kiwango cha hela ambacho wewe mwenyewe unajua kuwa hawez kukipata au hana..............
sure! kwa wapendanao si vibaya ku-share kila kitu including resources, tatizo lililopo ni pale mwenye uwezo kifedha (aweza kuwa mwanaume au mwanamke) kum-teat mwenzi wake vibaya, kutaka kuabudiwa, kumdharau nk. 'love' ni zaidi ya fedha au mali japo ikiwepo na ikatumika vizuri itageuka kuwa kiungo muhimu katika kuchagiza malavidavi, kinyume chake ni laana na uharibifu..,,