Nahitaji kufahamu machache ya ufundi simu

Nahitaji kufahamu machache ya ufundi simu

Under 20 wa kudumu

New Member
Joined
Aug 23, 2021
Posts
2
Reaction score
0
Habari ndugu

Mimi ni kijana mwenye malengo ya kujifunza ufundi wa simu sasa naomba ushauri kipi nianze kati ya kuanza kujifunza kwa fundi wa mtaani kisha niend veta au niende veta af nirudi kwa fundi mtaani kwa uzoefu zaidi?
 
Pakua sasa kitabu cha ufundi simu software
Kwa kutumia kitabu hiki, utaweza
  • Kuflash simu na tablet aina zote kama Nokia, Samsung, iPhone, Itel, Tecno, Infinix, Nexus, HTC, Google Pixel, LG, Xiaomi, Blackberry n.k
  • Utaweza kurepair IMEI
  • Remove Network Lock
  • Backup firmware
  • Kutoa Password, PIN, Pattern, Face Lock na Finger Print
  • Kubypass Google Account Verification (FRP)
  • Kujua boot key, boot select, fastboot mode, EDL Mode, Diag Mode, Test Point n.k
  • Kuunlock Bootloader
  • Rooting
  • Kuupdate simu yako kutoka android version moja kwenda nyingine
  • Remove MI Account na mambo mengi yanayohusiana na ufundi simu software
Baada ya kusoma na kuelewa utaweza kurepair simu yoyote za smartphone, tablet na simu za batani
 
Back
Top Bottom