Nahitaji kufahamishwa kuhusu Eritrea

Nahitaji kufahamishwa kuhusu Eritrea

Wee jamaa una utani duh Jokate hafu hafikii ?
Wageni vipi wanarusiwa kuchukua na kuondoka nao?
Kila siku ninawaeleza, mwanamke ni tabia na si sura pekee, lakini hamsikii!
Angalia sasa unavyoanza kuwasamamba wahabeshi! Hauwawezi mwanangu, achana nao.
Mila na desturi zetu na zao ni sawa na mbingu na nchi.
Kuna methali ya kinyamwezi ili kukazia usemi wangu inasema " uzuri wa kuwa ndani chongo". Kuna tunda pori flani mithili ya kungu lina ladha tamu sana.
Linatamanisha ulionapo jinsi lilivyo. Lakini ukilichuma na kulipasua ili ulile, ndani unakuta limesheheni wadudu aina ya sisimizi.
Sasa maana yake, usiishie kuangalia sura pekee kwa mwanamke wa kuoa, bali pia tabia yake.
 
Mimi ninavyo fahamu ni kua Eritrea ndio nchi yenye madem wakali kuwahi tokea barani Africa thatz all
 
eritrea-people-map.gif
 
Aisee,kama kuna mtu ambae hawaelewi WaTZ ni mimi.Hivi tuna matatizo gani hasa.Mtu unajua kutumia internet,kwa nini usijisomee mwenyewe?Hivi kinachokushinda ku-google "Eritrea" ukapata taarifa zote unzohitaji ni nini hasa?Ni uvivu au ni nini.I don't understand.Hivi mtu asumbuke kukufanyia kitu ambacho you can do on your own kweli.Hapana jamani huu ni umwinyi usiokubalika.
Kwan we sio mtanzania?......... Kama hutaki kumsaidia mtu kaa kimya.....,.kuna watu watakaomsaidia
 
dah hivi kwa basi sifiki eritrea?niombe uraia hata kwa mwaka mmoja
 
Naskia serikali inawaomba wanaume waoe angalau wanawake wawiliwawili...halafu ni wazuri balaa. Tuseme kama vile wewe uombwe kumuoa Jokate na Lulu labda kwa mfano..japo hawajafkia hata nusu
Kumbe ni habari ya "kusikia" tu!
 
Aisee,kama kuna mtu ambae hawaelewi WaTZ ni mimi.Hivi tuna matatizo gani hasa.Mtu unajua kutumia internet,kwa nini usijisomee mwenyewe?Hivi kinachokushinda ku-google "Eritrea" ukapata taarifa zote unzohitaji ni nini hasa?Ni uvivu au ni nini.I don't understand.Hivi mtu asumbuke kukufanyia kitu ambacho you can do on your own kweli.Hapana jamani huu ni umwinyi usiokubalika.
Upo sahihi kabisa mkuu,mleta mada ange google angepata jibu in a minute, tatizo siku hizi JF ni kama vile kuna mashindano ya kuanzisha Thread,ndio maana vithread kama hivi vya kuuliza viswali vya darasa la pili vimejaa sana humu JF siku hizi.
 
Acha kuita binadamu shetani wakati anauwezo wa kuomba msahama
nimesoma chuo na waeritrea na wahabebeshi toka kabila moja la watigray, wako freshi tuu sikuona dharau zozote mie. wengine walikuwa ni amharas na wolayta.
 
Uko sahihi kabisa mkuu.Hii inaonyesha elimu yetu ilipotufikisha.We are in fact a nation of fools.Very sad indeed.
Upo sahihi kabisa mkuu,mleta mada ange google angepata jibu in a minute, tatizo siku hizi JF ni kama vile kuna mashindano ya kuanzisha Thread,ndio maana vithread kama hivi vya kuuliza viswali vya darasa la pili vimejaa sana humu JF siku hizi.
 
Aisee,kama kuna mtu ambae hawaelewi WaTZ ni mimi.Hivi tuna matatizo gani hasa.Mtu unajua kutumia internet,kwa nini usijisomee mwenyewe?Hivi kinachokushinda ku-google "Eritrea" ukapata taarifa zote unzohitaji ni nini hasa?Ni uvivu au ni nini.I don't understand.Hivi mtu asumbuke kukufanyia kitu ambacho you can do on your own kweli.Hapana jamani huu ni umwinyi usiokubalika.
Sio mbaya kuuliza kaka
 
Back
Top Bottom