djesco
Senior Member
- Jun 26, 2013
- 166
- 52
Habari wakuu naombeni kama kuna mtu yeyote anaye anayeuza uza kreti za soda zenye chupa aniuzie au hata kama una chupa tupu hata kuanzia kumi pia sio mbaya kama utaniuzia kreti na chupa zake tsh.5000/= na chupa tupu nanunua kila moja tsh.100.Nipo dar es salaam, 0772424808