Nahitaji Kiwanja

Nahitaji Kiwanja

Wakuu nimepata kiwanja, asanteni sana kwa ushirikiano.

Naanza kuchanga za tofali sasa.
 
Wakuu nahitaji kiwanja.

Location: Sehemu yoyote kuanzia Kimara mpaka Kibamba.

Bajeti : 3M.

Tuwasiliane.

************************************
Wakuu nimepata kiwanja, asanteni sana kwa ushirikiano.
Naanza kuchanga za tofali sasa.
Kichukue hiki hapa.
 
Sio mbali kiivyo kutoka road .....kiwanja kilichonyooka yaani flat kabisa bei zake ni ndefu kidogo
Hello..

Kuna jamaa yangu anatafuta kiwanja. Bado unacho kiwanja chako unauza?
 
Kwa anayehitaji Kibaha aje nimuuzie kuna vya 20x20 bei 1.8m na 25x25 bei 2.8m eneo liko Kibaha Misugusugu 2km kutoka Morogoro road. 0755401051 kwa maelezo zaidi kuona na kutahmini ni bure hakina udalali
Bado vipi??
 
Wadau nahitaji kiwanjaa budget ipo 10m....maeneo ya mkoa wa Dar es Salaam isipokuwa Chanika na Kigamboni..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom