Habari zenu,
Kwanza niliwahi kutoa tangazo hapa la uhitaji wa kiwanja, nashkuru nilifanikiwa kupata kule kigamboni, lakini kwa sasa nahitaji kiwanja maeneo ya kuanzia UBUNGO hadi KIMARA mwisho yaani Morogoro Road, GOBA isiwe mbali kutoka hapa tanki bovu kituoni, MAKONGO JUU, CHANGANYIKENI, BUNJU, TEGETA, BOKO, SALASALA.
Ukubwa kati ya Sq 400 hadi Sq 700, ukiwa na sehemu tofauti kati ya hizi nijuze naweza badili preference ila isiwe kigamboni,
Niko serious Kama una kiwanja au unajua mtu mwenye nacho nipm tutafanya biashara haraka bila kupoteza muda, karibuni wote, natanguliza shukrani.
Kwanza niliwahi kutoa tangazo hapa la uhitaji wa kiwanja, nashkuru nilifanikiwa kupata kule kigamboni, lakini kwa sasa nahitaji kiwanja maeneo ya kuanzia UBUNGO hadi KIMARA mwisho yaani Morogoro Road, GOBA isiwe mbali kutoka hapa tanki bovu kituoni, MAKONGO JUU, CHANGANYIKENI, BUNJU, TEGETA, BOKO, SALASALA.
Ukubwa kati ya Sq 400 hadi Sq 700, ukiwa na sehemu tofauti kati ya hizi nijuze naweza badili preference ila isiwe kigamboni,
Niko serious Kama una kiwanja au unajua mtu mwenye nacho nipm tutafanya biashara haraka bila kupoteza muda, karibuni wote, natanguliza shukrani.