Nahitaji kioo cha Samsung Tablet 10.1.T-531

Nahitaji kioo cha Samsung Tablet 10.1.T-531

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,143
Waungwana, ni kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Kioo cha kifaa tajwa kimepata mushkeli. Wapi na kwa bei gani naweza kupata kioo cha kifaa husika?

Naombeni msaada wenu wakuu
 
Duka la sapna maeneo ya posta, kaangalie pale unaweza kupata na kwa bei nafuu mkuu.
 
Back
Top Bottom