Kipo mkuu 125000/=Nipo ubungo hakuna duka la ving'amuzi vya azam naomba anayejua maduka yalipo au mwenye nacho anayeuza aniuzie. Namba ya simu nitampa akinipm
Nenda Manzese Tiptop Au Darajani au Mwenge ITV utapataNipo ubungo hakuna duka la ving'amuzi vya azam naomba anayejua maduka yalipo au mwenye nacho anayeuza aniuzie. Namba ya simu nitampa akinipm
Asante115,000 na dish. Kimara bunyokwa
wamehamia kwa nyuma kidogo baada ya bomoa bomoa.Nenda mbezi mwisho karibu na kipasika dispensary na fundi utapewa hapo hapo.
Aise poa mkuu, mimi kwa sasa nipo mkoani kwa muda sasa ila hayo maeneo ndiyo home.wamehamia kwa nyuma kidogo baada ya bomoa bomoa.
Asante kwa taarifawamehamia kwa nyuma kidogo baada ya bomoa bomoa.