2017 No Name
Senior Member
- Jul 26, 2017
- 172
- 133
Habari wana jamvi. Nakuja mbele yenu kuwasilisha ombi langu hili. Nahitaji kazi, yoyote ya kujiingizia kipatato. Kazi yoyote.
Nilidisco elimu ya juu mwaka wa tatu course ya engineering , na ukizingatia kuwa nilitokea a-level hivyo technically sina profession yoyote.
Nilikua nafanya biashara ya kutembeza vitu, but recently mtaji umekata baada ya kulipa kodi ya chumba.
Nipo dar, sina tatizo lolote la kiafya or ulemavu, jinsia ni ME, ni muaminifu na mchapakazi, mwepesi kujifunza na najua kutumia computer vizuri.
Kama una kazi yoyote inayohitaji msaidizi na unahitaji msaidizi, iwe ya kutumia nguvu or akili or both nicheck PM.
Nilidisco elimu ya juu mwaka wa tatu course ya engineering , na ukizingatia kuwa nilitokea a-level hivyo technically sina profession yoyote.
Nilikua nafanya biashara ya kutembeza vitu, but recently mtaji umekata baada ya kulipa kodi ya chumba.
Nipo dar, sina tatizo lolote la kiafya or ulemavu, jinsia ni ME, ni muaminifu na mchapakazi, mwepesi kujifunza na najua kutumia computer vizuri.
Kama una kazi yoyote inayohitaji msaidizi na unahitaji msaidizi, iwe ya kutumia nguvu or akili or both nicheck PM.