Mbona new member.
Yaani hujajielezea sana , ama kisa u mwanamke Kuna inzi watashoboka kutua kutua kwako anyway, wanawake mmeshaumbwa na mtaji na mnaujua kuutumia vilivyo
Asante kwa kujali dear, naelewa Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake kulingana na uelewa wake, watu Wana mitazamo tofauti kutokana na imani, makuzi na mengineyo